9365206646

9365206646



wa shule ya upili ya Kegochi, Irene Moraa, Gladys Nyaboke, Carolyne Bochaberi, The 3 Akeyas, Tom Mogusu, James Gichum Ariba, Eddah Wanja, Charles Mose na Henry Nyang'au.

Kadhalika nawashukuru na kuwahongera wanafunzj wenzangu tuliong’oa nanga pamoja katika safari ya kuukweya mlima mrefu wa usomi. Hawa ni David Ondeyo Ombegera, Sammy Kamau, Peter Muhati, Amadi kwa Adziaya, Sammy Gakero, George Nyandoro na Leonard Maloba Ushauri na mijadala tuliyofanya ilininufaisha pakubwa. Aidha, wanafunzi wa uzamili wa mwaka wa kwanza wakiwemo Goefred Osoro Mogere, Priscah Jerono, Grace, Omwenga Makori, Bwire na Nzuki sitaweza kuwasahau kwa misaada na wema wao.

Hatimaye namshukuru Bi. Maureen Atelo kwa kuichapa kazi hii kwa ustadi. Kwake yeye na kundi lakę la DownWorld Communications (DWC) wakiwemo Samuel Siringi, Davies Obino, Isaiah Obino na Dennis Marube, nasema ahsante sana kwa ukarimu wao

Kwenu nyote ambao nimewataja na wale ambao sikuweza kuwataja, nawatakia mema maishani.

Ahsante.

VI



Wyszukiwarka

Podobne podstrony:
Mtindo wa tamthilia zetu umetokana na ule wa fasihi ya Kiingereza ambayo ililetwa kwetu na elimu ya
2.5.5 DRAMA YA KIUBWEQE 0ARąN! AFRIKA Uandishi wa drama ya kiubwege n; mpya katika eneo hili la Afri
Kuchanganyikiwa kwa mfumo wa elimu ya Kiafrika unabainika zaidi, tunapopatiwa sauti ya redio Mazingi
Mohamed amefuata mtindo wa watunzi wa drama ya kiubwege Hawa huchora wahusika, wanaosawiri na kuende
71510 zad2 (12) Z VCotu^Vaya^_ ^ joJodiU> kA&VA^ W*M^ ^^vu^ónjjruj.c^O WA ^od^Ya^e. .OcHoya u
131. Chebotarev, N. F. , S. Ya. Pshezhet6kiy, and Ye. P. Poltolyarnyy (122). Stndy of the timc dcpon
676ee5d9e49233121660530be338d2ed A r i. ^ v A r ▼ v A- W /WA V Łv^ rA* rAT*yA
mmBgt yĄ
4.7 PLOTI Ploti kwa kifupi ni ule msuko wa vitushi na namna vitushi hivyo vinavyosababishana; ni seh
Badała ya kufikiria kifo kama mwisho wa maisha, napendekeza tukitazame kama kitendo cha mwisho
Uchambuzi huu umetufaa kwa kutupatia miale ya mawazo ya waandishi wa kibwege licha ya kwamba haukuza
TAN BI HI Mlama P. M. (1983)    “Utunzi wa tamthilia katika Mazingira ya Tanzania”.
Tamthilia katika onyesho la kwanza, inajaribu kueleza hali na uhusiano wa kiuchumi baina ya bara la
Elimu katika ulimwengu wa mabwege hukosa misingi thabiti ya kijamii Mara nyingi huwa ni elimu ya kui

więcej podobnych podstron