9058010078

9058010078



3.0 SURA YA TATU

3.1    UTANGULIZI

Katika sura hii tumedhamiria kuonyesha jinsi tamthilia ya Amezidi ilivyoathiriwa na mkabala wa uandishi wa kiubwege Sura hii imejikita katika vipengele mbalimbali vya kimaudhui vikiwemo dhamira ya tamthilia, suala la Mungu, suala la historia, elimu na mkengeuko. Tumevihakiki na kuvichanganua vipengele hivi na vingine zaidi iii kubainisha kiwango cha ubwege katika tamthilia hii.

3.2    DHAMIRA YA TAMTHILIA

Kimsingi, fasihi ya ubwege huwa na dhamira ya kuonyesha ubatili wa matendo ya binadamu ulimwenguni Hususan, hutumia wahusika vibonzo ambao hukosa uwezo wa kujielewa na kufikiria licha ya kutekeleza yasiyo na maana Binadamu husawiriwa kama kinyago kisicho na uwezo wa kubadilisha hali yake. Muhimu kwa binadamu ni kukaa na kusubiri kifo; kifo ambacho ndicho hatua ya mwisho ya maisha yake.

Dhamira ya Mohamed, katika Amezidi kwa maoni yetu haiafikiani kwa kiasi kikubwa na dhamira ya aina hii Mwandishi huyu yaelekea anasukumwa na dhamira ya namna ambavyo bara la Afrika limenyonywa na kuathiriwa vibaya na mataifa ya Kimagharibi yaliyoendelea Wafula (1999:75) anasema:

Tamthilia ya. Amezidi inazungumzia ukosefu wa maendeleo barani Afrika. Mwandishi anadai kwamba mataifa ya kisasa barani Afrika yamejengwa kwa uigaji kikasuku wa teknołojia za Kimagharibi, ufisadi na unafiki.

Hali hii ni ya kiuhalisia zaidi na inapingana na mtazamo wa kiubwege Madhumuni ya Mohamed, yaelekea ni kuzindua na kuhamasisha viongozi wa bara hili na raia wake kwa ujumla kuwa wazalendo kwa kulipenda bara lao na kujitolea kulifufua kimaendeleo Nchi nyingi za bara la Afrika ziko huru lakini bado zinategemea misaada kutoka ng’ambo. Mtu au nchi huru ni ile inayoweza kujitegemea na aghalabu kukimu haja zake za kimsingi Tunapoona Ame na Zidi wakiomba vitu vingi chakula

35



Wyszukiwarka

Podobne podstrony:
Mohamed anakiuka mwelekeo huu kwa kuwapa wahusika wake wazo ia wokovu kutoka kwa Mungu Katika sura y
Mohamed anakiuka mwelekeo huu kwa kuwapa wahusika wake wazo ia wokovu kutoka kwa Mungu Katika sura y
Wimbo wanaoimba Ame na Zidi katika onyesho la tatu unaendeleza majivuno ya Waafrika Rangi nyeusi ina
atak=adgres sio atak=adgres sura atak=adgressus atak=adsultus atak=aggres sio atak=aggres
©SURAT ELEGIBILITAS PESERTA Diagnosa A wal Catalan Pasień Keluarga Pasień Pelugas BPJS
page0159 </ X</L4 frC^7-1 T^-Ż sUrA&l-tJcjLulCy-ć /Jv*?Us{/C€lfó ^rK-eoćfj :
94 LOKESII CHANDRA ca rana -yuga-nidheya-śrimatTrh sura -laksmirh tribhuvana-hila-dśtuh Tryambakasy
Kiudhanaishi, maisha ya binadamu husawiriwa kama fujo Hali hii hubainika kupitia shughuli mbalimbali
Badała ya kufikiria kifo kama mwisho wa maisha, napendekeza tukitazame kama kitendo cha mwisho
TAN BI HI Mlama P. M. (1983)    “Utunzi wa tamthilia katika Mazingira ya Tanzania”.
Hali hii humpatia binadamu picha halisi juu ya maisha yake yasiyo na utaratibu wowote ulimwenguni. M
Kundi la kwanza lilijikita zaidi katika matumizi ya yaliyomo katika tamthilia kudhihirisha dhana ya
2.5.5 DRAMA YA KIUBWEQE 0ARąN! AFRIKA Uandishi wa drama ya kiubwege n; mpya katika eneo hili la Afri
Tamthilia katika onyesho la kwanza, inajaribu kueleza hali na uhusiano wa kiuchumi baina ya bara la
Elimu katika ulimwengu wa mabwege hukosa misingi thabiti ya kijamii Mara nyingi huwa ni elimu ya kui
Wahusika wa kiubwege hukosa historia. Katika tamthilia ya Amezidi, wahusika tunaopewa hawana ukuaji

więcej podobnych podstron